Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mei 22-28

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 136

  • Uzima wa Milele Ni Wenye Thamani Kuliko Dhabihu Yoyote (Mk 10:29, 30): (Dak 15) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Ahadi ya Yesu kwenye Marko 10:29, 30 inapaswa kutuchochea kufanya nini? Yesu alitendaje hapo mwanzoni ndugu zake nusu walipokosa kumwamini? Tunapaswa kukumbuka nini kuhusu watu wetu wa ukoo ambao si Mashahidi?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 46

  • Umalizio (Dak. 3)

  • Wimbo 51 na Sala