Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Unaweza Kumtumikia Yehova Licha ya Malezi Yasiyofaa

Unaweza Kumtumikia Yehova Licha ya Malezi Yasiyofaa

Mfalme Ahazi aliyekuwa baba ya Hezekia alitenda mambo maovu sana (2Nya 28:1; w16.02 14 ¶8)

Hezekia alichagua kumtumikia Yehova licha ya mfano mbaya wa baba yake (2Nya 29:1-3; w16.02 14 ¶9-11)

Hezekia aliwatia moyo wengine wasiruhusu ukosefu wa uaminifu wa baba zao uwazuie kumtumikia Yehova (2Nya 29:4-6)

JIULIZE, ‘Ninaweza kuwatiaje moyo vijana ambao wazazi wao hawamtumikii Yehova?’