HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Unaweza Kumtumikia Yehova Licha ya Malezi Yasiyofaa
Mfalme Ahazi aliyekuwa baba ya Hezekia alitenda mambo maovu sana (2Nya 28:1; w16.02 14 ¶8)
Hezekia alichagua kumtumikia Yehova licha ya mfano mbaya wa baba yake (2Nya 29:1-3; w16.02 14 ¶9-11)
Hezekia aliwatia moyo wengine wasiruhusu ukosefu wa uaminifu wa baba zao uwazuie kumtumikia Yehova (2Nya 29:4-6)
JIULIZE, ‘Ninaweza kuwatiaje moyo vijana ambao wazazi wao hawamtumikii Yehova?’