Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mei 8-14

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Iweni na Imani Katika Yehova Mungu Wenu”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • 2Nya 21:14, 15—Unabii uliotolewa na Eliya kumhusu Yehoramu ulitimizwaje? (it-1 1271 ¶1-2)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Nya 20:20-30 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO