Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Iweni na Imani Katika Yehova Mungu Wenu”

“Iweni na Imani Katika Yehova Mungu Wenu”

Yehoshafati na watu wa Yuda walisali kwa Yehova kumwomba msaada walipotishwa (2Nya 20:12, 13; w14 12/15 23 ¶8)

Yehova aliwafariji watu wake na kuwapa mwongozo wa wazi (2Nya 20:17)

Yehova aliwaokoa watu wake kwa sababu walikuwa na imani katika Yeye (2Nya 20:21, 22, 27; w21.11 16 ¶7)

Gogu atakapowashambulia watu wa Yehova wakati wa dhiki kuu, wale walio na imani katika Yehova na wanaowatumaini wale anaowatumia kuongoza hawatakuwa na sababu ya kuogopa.—2Nya 20:20.