Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Juni 17-23

ZABURI 51-53

Juni 17-23

Wimbo 89 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Mambo Unayoweza Kufanya Ili Kuepuka Dhambi Nzito

(Dak. 10)

Usijiamini kupita kiasi—wanadamu wote wana mwelekeo wa kutenda dhambi (Zb 51:5; 2Ko 11:3)

Dumisha ratiba nzuri ya kiroho (Zb 51:6; w19.01 15 ¶4-5)

Pambana uepuke mawazo na tamaa chafu (Zb 51:​10-12; w15 6/15 14 ¶5-6)

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 52:​2-4—Mistari hii inatuambia nini kuhusu matendo ya Doegi? (it-1 644)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA UMMA. (lmd somo la 7 jambo kuu la 3)

5. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 2) NYUMBA KWA NYUMBA. (lmd somo la 4 jambo kuu la 4)

6. Kufuatia Upendezi

(Dak. 3) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Mfundishe jina la Mungu. (lmd somo la 9 jambo kuu la 5)

7. Kufanya Wanafunzi

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 115

8. Mambo ya Kufanya Ili Kurekebisha Makosa Yako

(Dak. 15) Mazungumzo.

Licha ya jitihada nyingi, sisi sote hufanya makosa. (1Yo 1:8) Tunapokosea hatupaswi kuruhusu aibu au woga wa kuadhibiwa utuzuie kumwomba Yehova msamaha na msaada. (1Yo 1:9) Jambo la kwanza tunalopaswa kufanya ili kurekebisha kosa ni kusali kwa Yehova.

Soma Zaburi 51:​1, 2, 17. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Maneno ya Daudi yanaweza kutuchocheaje kutafuta msaada wa Yehova tunapotenda dhambi nzito?

Onyesha VIDEO Maisha Yangu ya Utineja—Ninaweza Kurekebishaje Makosa Yangu? Kisha waulize wasikilizaji:

  • Ni mambo gani ambayo yaliwaongoza Thalila na José kufanya makosa?

  • Walichukua hatua zipi ili kurekebisha makosa yao?

  • Walinufaikaje walipofanya hivyo?

9. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 129 na Sala