Mei 13-19
ZABURI 38-39
Wimbo 125 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
1. Kuondoa Hisia za Kuwa na Hatia Kupita Kiasi
(Dak. 10)
Hisia za kuwa na hatia kupita kiasi ni kama mzigo wenye kulemea (Zb 38:3-8; w20.11 27 ¶12-13)
Badala ya kukazia fikira makosa uliyofanya zamani, azimia kutumia maisha yako kumpendeza Yehova (Zb 39:4, 5; w02 11/15 20 ¶1-2)
Sali hata ikiwa hisia za kuwa na hatia zinafanya iwe vigumu kufanya hivyo (Zb 39:12; w21.10 15 ¶4)
Ikiwa unakabiliana na hisia za kuwa na hatia kupita kiasi, kumbuka kwamba Yehova huwasamehe “kwa njia kubwa” watenda dhambi wanaotubu.—Isa 55:7.
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
Zb 39:1—Huenda ni wakati gani ambapo tunahitaji kutumia kanuni ya ‘kulinda kinywa chetu kwa lijamu’? (w22.09 13 ¶16)
Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 38:1-22 (th somo la 2)
4. Busara—Paulo Alifanya Nini?
(Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie lmd somo la 5 jambo kuu la 1-2.
5. Busara—Mwige Paulo
(Dak. 8) Mazungumzo yakitegemea lmd somo la 5 jambo kuu la 3-5 na “Soma Pia.”
Wimbo 44
6. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 15)
7. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 9 ¶17-24, sanduku uk. 73