Mapainia wakihubiri habari njema katika lugha ya Tzotzil kwenye jimbo la Chiapas, Mexico

DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Novemba 2016

Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi

Mapendekezo kwa ajili ya utumishi ya gazeti la Mnara wa Mlinzi kweli ya Biblia inayoonyesha jinsi unabii wa Biblia unavyotimia leo. Tumia mapendekezo yaliyoonyeshwa kutayarisha utangulizi wako.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Biblia Inamfafanua Mke Mwenye Uwezo

Ni sifa gani ambazo Yehova anathamini katika dada aliyeolewa?

MAISHA YA MKRISTO

“Mume Wake Ni Mtu Anayejulikana Malangoni”

Mke mwenye uwezo humletea mume wake sifa.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Ona Mema kwa Ajili ya Kazi Yako Yote Ngumu

Tunaweza kujifunza kufurahia kufanya kazi ikiwa tutakuwa na mtazamo unaofaa.

MAISHA YA MKRISTO

Jinsi ya Kutumia Kitabu Biblia Inatufundisha Nini?

Tunaweza kutumiaje sehemu za pekee za kitabu ‘Biblia Inatufundisha’ tunapoongoza funzo la Biblia?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Mkumbuke . . . Muumba Wako Mkuu Katika Siku za Ujana Wako”

Mhubiri 12 inatumia lugha ya kishairi kutuhimiza tutumie ujana vizuri.

MAISHA YA MKRISTO

Vijana—Msikawie Kuingia Kwenye “Mlango Mkubwa”

Je, unaweza kufuatilia miradi ya kiroho kama vile utumishi wa wakati wote?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Msichana Mshulami—Mfano Unaofaa Kuigwa

Msichana Mshulami aliwawekeaje watumishi wa Yehova mfano bora wa kuiga?