Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

TREASURES FROM GOD’S WORD | MHUBIRI 7-12

“Mkumbuke . . . Muumba Wako Mkuu Katika Siku za Ujana Wako”

“Mkumbuke . . . Muumba Wako Mkuu Katika Siku za Ujana Wako”

Mkumbuke Muumba wako Mkuu kwa kutumia nguvu zako ili kumtumikia ukiwa kijana

12:1, 13

  • Vijana wengi wana afya nzuri na nguvu za kutimiza migawo migumu na inayosisimua

  • Vijana wanapaswa kutumia wakati na nguvu zao kumtumikia Mungu kabla ya kuzuiwa na matatizo ya uzee

Sulemani alitumia maneno ya kishairi kufafanua matatizo ya uzee

12:2-7

  • Mstari wa 3: “Mabibi wanaochungulia madirishani wameona giza”

    Uwezo wa kuona unapungua

  • Mstari wa 4: “Mabinti wote wa wimbo hutoa sauti ya chini”

    Uwezo wa kusikia unapungua

  • Mstari wa 5: “Pilipili hupasuka”

    Kupoteza hamu ya kula