Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | WIMBO WA SULEMANI 1-8

Msichana Mshulami—Mfano Unaofaa Kuigwa

Msichana Mshulami—Mfano Unaofaa Kuigwa

Ni nini kinachomfanya awe mfano bora kwa waabudu wa Yehova?

2:7; 4:12

  • Kwa hekima alisubiri hadi alipopata upendo wa kweli

  • Alikataa kuwaruhusu wengine wamshinikize kusitawisha upendo wa kimahaba kumwelekea mtu yeyote tu

  • Alikuwa mnyenyekevu, mwenye kiasi, na safi kiadili

  • Alikataa kushawishiwa na dhahabu au maneno ya kumrairai

Jiulize:

‘Ni sifa gani ya msichana Mshulami ninayoweza kujitahidi zaidi kuiga?’