Novemba 7- 13
METHALI 27-31
Wimbo 86 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Biblia Inamfafanua Mke Mwenye Uwezo”: (Dak. 10)
Met 31:10-12—Anategemeka (w15 1/15 20 ¶10; w00 2/1 31 ¶2; it-2 1183) *
Met 31:13-27—Anafanya kazi kwa bidii (w00 2/1 31 ¶3-4)
Met 31:28-31—Ni mtu wa kiroho anayestahili kusifiwa (w15 1/15 20 ¶8; w00 2/1 31 ¶5, 8)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Met 27:12—Tunawezaje kuwa werevu tunapochagua burudani? (w15 7/1 8 ¶3)
Met 27:21—Ni kwa njia gani mtu anajaribiwa anaposifiwa? (w11 8/1 29 ¶2; w06 9/15 19 ¶12)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?
Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Met 29:11–30:4
BORESHA HUDUMA YAKO
Uwe Tayari Kutoa Machapisho Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumzo yanayotegemea mapendekezo kwa ajili ya utumishi. Onyesha video za mapendekezo, halafu mzungumzie mambo makuu. Watie moyo wahubiri waandike utangulizi wao. Ikiwa video hizo hazipatikani, panga kuwe na onyesho.
MAISHA YA MKRISTO
Wimbo 89
“Mume Wake Ni Mtu Anayejulikana Malangoni”: (Dak. 5) Hotuba itolewe na mzee.
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10) Au mnaweza kuzungumzia mambo tunayojifunza katika Kitabu cha Mwaka. (yb16 40-41)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 3 ¶13-22, chati “Yehova Anafunua Kusudi Lake Hatua kwa Hatua,” Sanduku “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 108 na Sala
^ fu. 7 Ufupisho wa Machapisho: w = Mnara wa Mlinzi; it = Insight on the Scriptures; kr = Ufalme wa Mungu Unatawala!; yb = Kitabu cha Mwaka; wp = Mnara wa Mlinzi Toleo la Watu Wote; bh = Biblia Inafundisha Nini Hasa?.