Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MAISHA YA MKRISTO

“Mume Wake Ni Mtu Anayejulikana Malangoni”

“Mume Wake Ni Mtu Anayejulikana Malangoni”

Mke mwenye uwezo humletea heshima mume wake. Katika siku za Mfalme Lemueli, mume aliyekuwa na mke mwenye uwezo alikuwa mtu “anayejulikana malangoni.” (Met 31:23) Leo, wanaume wanaoheshimika hutumikia wakiwa wazee na watumishi wa huduma. Ikiwa wamefunga ndoa, kustahili kwao kunategemea sana mwenendo mzuri na utegemezo wa wake zao. (1Ti 3:4, 11) Wake wa namna hiyo wanathaminiwa sana, si tu na waume zao bali pia na kutaniko.

Mke mwenye uwezo humsaidia mume wake kutumikia kwa . . .