Novemba 11-17
2 YOHANA 1-13; 3 YOHANA 1-14–YUDA 1-25
Wimbo 128 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Tunapaswa Kufanya Pigano Kali Ili Kubaki Katika Kweli”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa 2 Yohana.]
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa 3 Yohana.]
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Yuda.]
Yuda 3—“[Fanyeni] pigano kali kwa ajili ya imani” (w04 9/15 11-12 ¶8-9)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yuda 4, 12—Kwa nini watu wasiomwogopa mungu walioingia kisiri kutanikoni walifananishwa na “miamba iliyo chini ya maji katika karamu . . . za kuonyesha upendo”? (it-2 279, 816)
Yuda 14, 15—Kwa nini Enoko alizungumza kuhusu tukio la wakati ujao kana kwamba tayari limetokea, na unabii huo ulitimizwaje? (wp17.1 12 ¶1, 3)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 2Yo 1-13 (th somo la 12)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 1)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 6)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha umwachie kadi ya mawasiliano ya jw.org. (th somo la 11)
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 90
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 147 na Sala