Novemba 18-24
UFUNUO 1-3
Wimbo 15 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Ninayajua Matendo Yako”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Ufunuo.]
Ufu 1:20—Yesu anayaongoza kikamili mabaraza ya wazee (w12 10/15 14 ¶8)
Ufu 2:1, 2—Yesu anajua mambo yanayotokea katika kila kutaniko (w12 4/15 29 ¶11; w01 1/15 20-21 ¶20)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Ufu 1:7—Ni kwa njia gani kila jicho litamwona Yesu ‘akija na mawingu,’ na hilo litatukia wakati gani? (kr 226 ¶10)
Ufu 2:7—Kula kutokana na “mti wa uzima, ulio katika paradiso ya Mungu” kunamaanisha nini? (w09 1/15 31 ¶1)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Ufu 1:1-11 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 2)
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa utangulizi wa video Kwa Nini Ujifunze Biblia? (lakini usionyeshe video) (th somo la 3)
MAISHA YA MKRISTO
“Yehova Anajua Mahitaji Yetu”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Ripoti ya Mwaka wa 2017 ya Halmashauri ya Ufundishaji.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 91
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 151 na Sala