Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Novemba 25–Desemba​1

UFUNUO 4-6

Novemba 25–Desemba​1
  • Wimbo 22 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Wapanda Farasi Wanne Katika Mwendo”: (Dak. 10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Ufu 4:4, 6—Wale wazee 24 na wale viumbe hai 4 wanawakilisha nini? (re 76-77 ¶8; 80 ¶19)

    • Ufu 5:5—Kwa nini Yesu anaitwa “Simba wa kabila la Yuda”? (cf 36 ¶5-6)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Ufu 4:1-11 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 46

  • Yehova Anampenda Mtoaji Mchangamfu”: (Dak. 15) Mazungumzo yakiongozwa na mzee. Anza kwa kuonyesha video yenye kichwa Mwongozo wa Kutoa Michango Kielektroni. Wajulishe wahubiri kwamba wanaweza kupata habari kuhusu michango kwa kubofya kitufe cha Michango kwenye jw.org na kwenye JW Library au kwa kuandika donate.pr418.com kwenye sehemu ya anwani. Soma barua kutoka kwenye ofisi ya tawi ya kutoa shukrani kwa michango iliyopokewa mwaka wa utumishi uliopita. Lishukuru kutaniko kwa ukarimu wake.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 92

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 43 na Sala