Novemba 4-10
1 YOHANA 1-5
Wimbo 122 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Usiupende Ulimwengu au Vitu Vilivyo Katika Ulimwengu”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa 1 Yohana.]
1Yo 2:15, 16—“Kila kitu katika ulimwengu . . . hutokana na ulimwengu,” hakitokani na Baba (w05 1/1 10 ¶13) *
1Yo 2:17—Ulimwengu unapitilia mbali na pia tamaa yake (w13 8/15 27 ¶18)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
1Yo 2:7, 8—Ni katika maana gani sheria ambayo Yohana anarejelea ni ya zamani na mpya? (w13 9/15 10 ¶14)
1Yo 5:16, 17—Ni “dhambi [gani] ambayo huleta kifo”? (it-1 862 ¶5)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 1Yo 1:1–2:6 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Shauku, kisha mzungumzie somo la 11 la broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isizidi dak. 5) w04 10/1 29—Kichwa: Yohana alimaanisha nini aliposema kwenye 1 Yohana 4:18 “upendo mkamilifu hutupa woga nje”? (th somo la 7)
MAISHA YA MKRISTO
“Epuka Uvutano wa Ulimwengu Unapopanga Harusi”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Harusi Zinazomletea Yehova Heshima.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 89
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 118 na Sala
^ fu. 8 Ufupisho wa Machapisho: w = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Funzo; it = Insight on the Scriptures; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; wp = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Watu Wote; kr = Ufalme wa Mungu Unatawala; re = Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu; cf = Njoo Uwe Mfuasi Wangu; lvs = Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu