Usiupende Ulimwengu au Vitu Vilivyo Katika Ulimwengu
Shetani anatumia mambo matatu yafuatayo kujaribu kutunasa na kutuondoa kutoka kwa Yehova. Unaweza kumwelezaje mtu mwingine kuyahusu?
-
“Tamaa ya mwili”
-
“Tamaa ya macho”
-
“Mtu kujionyesha mali zake maishani”