Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Desemba 16-22

ZABURI 119:​57-120

Desemba 16-22

Wimbo 129 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Jinsi ya Kuvumilia Hali Ngumu

(Dak. 10)

Endelea kusoma na kujifunza Neno la Mungu (Zb 119:61; w06 6/15 20 ¶2; w00 12/1 14 ¶3)

Ruhusu jaribu likufinyange (Zb 119:71; w06 9/1 14 ¶4)

Mwombe Yehova akufariji (Zb 119:76; w17.07 13 ¶3, 5)

JIULIZE, ‘Ni katika njia zipi hususa Yehova amenisaidia kuvumilia hali ngumu?’

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 119:96—Huenda mstari huu unamaanisha nini? (w06 9/1 14 ¶5)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwonyeshe mwenye nyumba tovuti yetu, na umpe kadi ya mawasiliano ya jw.org. (lmd somo la 2 jambo kuu la 5)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 4) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Mwalike mtu huyo asikilize hotuba ya watu wote ifuatayo. Tumia video Ni Nini Hutendeka Katika Jumba la Ufalme? (lmd somo la 8 jambo kuu la 3)

6. Kufafanua Imani Yako

(Dak. 5) Onyesho. ijwbq 157—Kichwa: Biblia Inasema Nini Kuhusu Misiba ya Asili? (lmd somo la 3 jambo kuu la 3)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 128

7. Yehova Anatusaidia Kuvumilia

(Dak. 15) Mazungumzo.

Uvumilivu wa Kikristo ni uwezo wa kustahimili hali ngumu, taabu, au mkazo bila kufa moyo. Kuvumilia kunamaanisha tunaendelea kuwa imara, tukidumisha tumaini letu na kuendelea kuwa na mtazamo unaofaa wa akili licha ya majaribu tunayokabili. Ikiwa sisi ni wavumilivu, matatizo yanapotokea ‘hatutarudi nyuma’ au kupunguza mwendo katika mbio zetu za Kikristo. (Ebr 10:​36-39) Yehova ana hamu ya kutusaidia kuvumilia majaribu.—Ebr 13:6.

Kando ya kila andiko, andika jinsi Yehova anavyotusaidia kuvumilia.

Onyesha VIDEO Endelea Kusali kwa Ajili ya Wale Wanaovumilia Majaribu. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Tunaweza kutumiaje tovuti ya jw.org kupata habari za karibuni kuwahusu ndugu zetu wanaokabili majaribu?

  • Wazazi wanaweza kuwazoezaje watoto wao kusali kwa ajili ya wengine, na kuna manufaa gani ya kufanya hivyo?

  • Kwa nini ni muhimu kusali Yehova awasaidie Wakristo wenzetu kuvumilia?

  • Kusali kwa ajili ya wengine kunawezaje kutusaidia kuvumilia majaribu tunayokabili?

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 32 na Sala