Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Desemba 2-8

ZABURI 113-118

Desemba 2-8

Wimbo 127 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Tutamlipa Yehova Nini?

(Dak. 10)

Yehova hutulinda, anatutendea kwa fadhili, na kutuokoa (Zb 116:​6-8; w01 1/1 11 ¶13)

Tunaweza kumlipa Yehova kwa kuishi kwa njia inayopatana na sheria na kanuni zake (Zb 116:​12, 14; w09 7/15 29 ¶4-5)

Tunaweza kumlipa Yehova kwa kumtolea “dhabihu ya shukrani” (Zb 116:17; w19.11 22-23 ¶9-11)

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 116:15—Ni nani “washikamanifu” wa Mungu wanaotajwa katika mstari huu? (w12 5/15 22 ¶1-2)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Uhodari—Yesu Alifanya Nini

(Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie lmd somo la 12 jambo kuu la 1-2.

5. Uhodari—Mwige Yesu

(Dak. 8) Mazungumzo yakitegemea lmd somo la 12 jambo kuu la 3-5 na “Soma Pia.”

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 60

6. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

7. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 29 na Sala