Kuonyeshana upendo wa Kikristo nchini Malawi

DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Oktoba 2018

Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo

Mapendekezo ya kuanzisha mazungumzo kuhusu kwa nini wanadamu wanateseka na Mungu atashughulikiaje hali hiyo.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Yesu Anajali Kondoo Wake

Yesu, Mchungaji Mwema, anawajua kondoo wake kibinafsi​—anajua mahitaji, udhaifu, na sifa nzuri za kila kondoo.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Iga Huruma ya Yesu

Ni nini kilichofanya huruma na hisia-mwenzi za Yesu ziwe za pekee sana?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Nimewawekea Kielelezo”

Yesu aliwafundisha mitume wake unyenyekevu na kwamba wanapaswa kuwa tayari kufanya kazi za hali ya chini kwa ajili ya ndugu zao.

MAISHA YA MKRISTO

Upendo Unawatambulisha Wakristo wa Kweli​—Kataa Kabisa Ubinafsi na Usiwe Mwenye Kuchokozeka

Ili tuonyeshe upendo kama wa Kristo, ni lazima tutafute faida za wengine na tusiwe wenye kuchokozeka.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Ninyi Si Sehemu ya Ulimwengu”

Wafuasi wa Yesu wangehitaji ujasiri ili waepuke kuchafuliwa na mitazamo na matendo ya watu katika ulimwengu uliowazunguka.

MAISHA YA MKRISTO

Upendo Unawatambulisha Wakristo wa Kweli​—Linda Umoja Wetu Wenye Thamani

Ili tuendelee kuwa na umoja, ni lazima tutafute sifa nzuri za wengine na tusamehe kwa hiari.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Yesu Alitoa Ushahidi Kuhusu Kweli

Sisi tukiwa wanafunzi wa Yesu, tunatoa ushahidi kuhusu kweli kwa maneno na matendo.

MAISHA YA MKRISTO

Upendo Unawatambulisha Wakristo wa Kweli​—Shangilia Pamoja na Kweli

Tunapaswa kutoa ushahidi kuhusu kweli na kushangilia pamoja na kweli licha ya kuishi katika ulimwengu uliojaa uwongo na ukosefu wa uadilifu.