Oktoba 1-7
YOHANA 9-10
Wimbo 25 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yesu Anajali Kondoo Wake”: (Dak. 10)
Yoh 10:1-3, 11, 14—Yesu, “mchungaji mwema,” anawajua kondoo wake kibinafsi na anajali sana mahitaji yao (“Zizi la kondoo” picha Yoh 10:1, nwtsty; w11 5/15 7-8 ¶5 *)
Yoh 10:4, 5—Kondoo wanaijua sauti ya Yesu, si ya wageni (cf 124-125 ¶17)
Yoh 10:16—Kondoo wa Yesu wanafurahia umoja (“nitawaleta” habari za utafiti Yoh 10:16, nwtsty)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yoh 9:38—Yule kipofu aliyekuwa ombaomba alimsujudia Yesu katika maana gani? (“akamsujudia” habari za utafiti Yoh 9:38, nwtsty)
Yoh 10:22—Sherehe ya Wakfu ilikuwa sherehe gani? (“Sherehe ya Wakfu” habari za utafiti Yoh 10:22, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 9:1-17
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) fg somo la 14 ¶1-2
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 37
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 3 na Sala
^ fu. 7 Ufupisho wa Machapisho: nwtsty = Toleo la Funzo la Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya; w = Mnara wa Mlinzi; cf = Njoo Uwe Mfuasi Wangu; fg = Habari Njema Kutoka kwa Mungu; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; it = Insight on the Scriptures