Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Oktoba 1-​7

YOHANA 9-10

Oktoba 1-​7
  • Wimbo 25 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Yesu Anajali Kondoo Wake”: (Dak. 10)

    • Yoh 10:1-3, 11, 14​—Yesu, “mchungaji mwema,” anawajua kondoo wake kibinafsi na anajali sana mahitaji yao (“Zizi la kondoo” picha Yoh 10:1, nwtsty; w11 5/15 7-8 ¶5 *)

    • Yoh 10:4, 5​—Kondoo wanaijua sauti ya Yesu, si ya wageni (cf 124-125 ¶17)

    • Yoh 10:16—Kondoo wa Yesu wanafurahia umoja (“nitawaleta” habari za utafiti Yoh 10:16, nwtsty)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Yoh 9:38​—Yule kipofu aliyekuwa ombaomba alimsujudia Yesu katika maana gani? (“akamsujudia” habari za utafiti Yoh 9:38, nwtsty)

    • Yoh 10:22​—Sherehe ya Wakfu ilikuwa sherehe gani? (“Sherehe ya Wakfu” habari za utafiti Yoh 10:22, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 9:1-17

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 62

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 37

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 3 na Sala

^ fu. 7 Ufupisho wa Machapisho: nwtsty = Toleo la Funzo la Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya; w = Mnara wa Mlinzi; cf = Njoo Uwe Mfuasi Wangu; fg = Habari Njema Kutoka kwa Mungu; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; it = Insight on the Scriptures