Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YOHANA 13-14

“Nimewawekea Kielelezo”

“Nimewawekea Kielelezo”

13:5, 12-15

Alipoosha miguu ya mitume wake, Yesu alikuwa akiwafundisha unyenyekevu na kwamba wanapaswa kuwa tayari kufanya kazi za hali ya chini kwa ajili ya ndugu zao.

Ninaweza kuonyeshaje unyenyekevu . . .

  • ninapokosana na wengine?

  • ninaposhauriwa?

  • Jumba la Ufalme linapohitaji kusafishwa au kudumishwa?