“Nimewawekea Kielelezo”
Alipoosha miguu ya mitume wake, Yesu alikuwa akiwafundisha unyenyekevu na kwamba wanapaswa kuwa tayari kufanya kazi za hali ya chini kwa ajili ya ndugu zao.
Ninaweza kuonyeshaje unyenyekevu . . .
-
ninapokosana na wengine?
-
ninaposhauriwa?
-
Jumba la Ufalme linapohitaji kusafishwa au kudumishwa?