Oktoba 22-28
YOHANA 15-17
Wimbo 129 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Ninyi Si Sehemu ya Ulimwengu”: (Dak. 10)
Yoh 15:19—Wafuasi wa Yesu “si sehemu ya ulimwengu” (“ulimwengu” habari za utafiti Yoh 15:19, nwtsty)
Yoh 15:21—Wafuasi wa Yesu wanachukiwa kwa sababu ya jina lake (“kwa ajili ya jina langu” habari za utafiti Yoh 15:21, nwtsty)
Yoh 16:33—Wafuasi wa Yesu wanaweza kuushinda ulimwengu kwa kumwiga Yesu (it-1 516)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yoh 17:21-23—Ni katika maana gani wafuasi wa Yesu walipaswa kuwa “kitu kimoja”? (“kimoja” habari za utafiti Yoh 17:21, nwtsty; “wakamilishwe wawe kitu kimoja” habari za utafiti Yoh 17:23, nwtsty)
Yoh 17:24—“Kuwekwa msingi wa ulimwengu” ni nini? (“msingi wa ulimwengu” habari za utafiti Yoh 17:24, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 17:1-14
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
Ziara ya Kurudia ya Tatu: (Isizidi dak. 3) Chagua andiko lako mwenyewe na utoe chapisho la funzo.
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) fg somo la 14 ¶3-4
MAISHA YA MKRISTO
“Upendo Unawatambulisha Wakristo wa Kweli—Linda Umoja Wetu Wenye Thamani”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video ‘Iweni na Upendo Kati Yenu Wenyewe’—Usiweke Hesabu ya Ubaya. Kadiri wakati unavyoruhusu, zungumzieni sanduku lenye kichwa “Tafakari Mfano Huu wa Biblia.”
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 40
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 106 na Sala