Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Oktoba 22-​28

YOHANA 15-17

Oktoba 22-​28
  • Wimbo 129 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Ninyi Si Sehemu ya Ulimwengu”: (Dak. 10)

    • Yoh 15:19—Wafuasi wa Yesu “si sehemu ya ulimwengu” (“ulimwengu” habari za utafiti Yoh 15:19, nwtsty)

    • Yoh 15:21—Wafuasi wa Yesu wanachukiwa kwa sababu ya jina lake (“kwa ajili ya jina langu” habari za utafiti Yoh 15:21, nwtsty)

    • Yoh 16:33—Wafuasi wa Yesu wanaweza kuushinda ulimwengu kwa kumwiga Yesu (it-1 516)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Yoh 17:21-23—Ni katika maana gani wafuasi wa Yesu walipaswa kuwa “kitu kimoja”? (“kimoja” habari za utafiti Yoh 17:21, nwtsty; “wakamilishwe wawe kitu kimoja” habari za utafiti Yoh 17:23, nwtsty)

    • Yoh 17:24—“Kuwekwa msingi wa ulimwengu” ni nini? (“msingi wa ulimwengu” habari za utafiti Yoh 17:24, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 17:1-14

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO