Kumhubiria mama na binti yake katika jimbo la Bengal Magharibi nchini India

DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Septemba 2016

Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi

Mapendekezo ya kutoa Mnara wa Mlinzi na kweli ya Biblia inayothibitisha kwamba Mungu anatujali. Tumia mapendekezo yaliyoonyeshwa kutayarisha utangulizi wako.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

‘Tembea Katika Sheria ya Yehova’

Inamaanisha nini kutembea katika sheria ya Yehova? Mwandikaji wa Zaburi ya 119 ni mfano mzuri kwetu leo.

MAISHA YA MKRISTO

Mtoto Anapofungua Mlango

Jinsi ya kutenda kwa njia inayofaa na itakayoonyesha tunawaheshimu wazazi.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Msaada Wangu Unatoka kwa Yehova”

Zaburi ya 121 inatumia maneno ya mfano kufafanua ulinzi wa Yehova.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Tumeumbwa kwa Njia ya Ajabu

Zaburi ya 139, Daudi anamsifu Yehova kwa uumbaji Wake wenye kustaajabisha.

MAISHA YA MKRISTO

Epuka Mitego Hii Unapoongoza Funzo la Biblia

Ili kuifikia mioyo ya wanafunzi wa Biblia, tunapaswa kuepuka mitego gani?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Yehova Ni Mkuu na wa Kusifiwa Sana”

Zaburi ya 145 inaonyesha hisia za Daudi kuhusu jinsi Yehova anavyowatunza watumishi Wake washikamanifu.

MAISHA YA MKRISTO

Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Watie Moyo Wanaopendezwa Wahudhurie Mikutano

Wanafunzi wa Biblia na watu wanaopendezwa hufanya maendeleo zaidi wanapohudhuria mikutano.