Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi

Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi

MNARA WA MLINZI

Swali: Mara kwa mara, kila mmoja wetu anahitaji faraja. Unafikiri tunaweza kuipataje?

Andiko: 2Ko 1:3, 4

Pendekezo: Gazeti hili la Mnara wa Mlinzi linaonyesha jinsi Mungu anavyotufariji.

MNARA WA MLINZI (ukurasa wa nyuma)

Swali: Wengine wanafikiri Ufalme wa Mungu ni hali iliyo moyoni mwa mtu; wengine wanafikiri ni matokeo ya jitihada za wanadamu za kuleta amani duniani. Wewe unaonaje?

Andiko: Da 2:44

Pendekezo: Biblia inaonyesha kwamba Ufalme wa Mungu ni serikali halisi. Makala hii inaeleza mambo mengi zaidi ambayo Biblia inafundisha kuhusu Ufalme wa Mungu.

FUNDISHA KWELI

Swali: Tunaweza kujuaje ikiwa Mungu anatujali?

Andiko: 1Pe 5:7

Kweli: Mungu anatualika tusali kwake kwa sababu anatujali.

ANDIKA UTANGULIZI WAKO

Tumia mapendekezo yaliyoonyeshwa kutayarisha utangulizi wako.

Ufupisho wa Machapisho

w = Mnara wa Mlinzi; wp = Mnara wa Mlinzi Toleo la Watu Wote; fg = Habari Njema Kutoka kwa Mungu; it = Insight on the Scriptures; kr = Ufalme wa Mungu Unatawala!; be = Faidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi