Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Septemba 19-25

ZABURI 135-141

Septemba 19-25
  • Wimbo 59 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) wp16.5 16

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) wp16.5 16—Mwalike mwenye nyumba mkutanoni.

  • Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) fg somo la 8 ¶8—Msaidie mwanafunzi aone jinsi anavyoweza kutumia habari.

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 57

  • Epuka Mitego Hii Unapoongoza Funzo la Biblia”: (Dak. 15) Baada ya kuzungumzia makala, onyesha na uelezee video yenye sehemu mbili inayoonyesha njia sahihi ya kufundisha na njia isiyo sahihi ya kufundisha, kwa kutumia kitabu Biblia Inafundisha ukurasa wa 29, fungu la 7. Video inapoendelea wahubiri wanapaswa kufuatana na mambo yanayozungumziwa katika vitabu vyao. Wakumbushe wote waliopewa migawo kwenye sehemu ya Boresha Huduma Yako kwamba kuepuka mitego hiyo kutawasaidia kumaliza sehemu zao hata kabla ya wakati uliowekwa.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr Barua Kutoka kwa Baraza Linaloongoza na sura ya 1 ¶1-10

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 30 na Sala