Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 135-141

Tumeumbwa kwa Njia ya Ajabu

Tumeumbwa kwa Njia ya Ajabu

Daudi alitafakari kuhusu mambo yanayothibitisha sifa nzuri za Mungu zinazoonekana kupitia uumbaji Wake. Alitumia maisha yake yote kumtumikia Yehova.

Daudi alipotafakari kwa kina sana kuhusu uumbaji, alichochewa kumtukuza Yehova:

139:14

  • “Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha”

139:15

  • “Mifupa yangu haikufichwa kwako nilipofanyizwa katika siri, nilipoungwa katika sehemu za chini kabisa za dunia.”

139:16

  • “Macho yako yalikiona kiini-tete changu, na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa”