Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 142-150

“Yehova Ni Mkuu na wa Kusifiwa Sana”

“Yehova Ni Mkuu na wa Kusifiwa Sana”

145:1-5

Alipotambua kwamba ukuu wa Yehova hauna mipaka, Daudi alichochewa kumsifu Yehova milele

145:10-12

Kama Daudi, watumishi washikamanifu wa Yehova wanachochewa kuzungumza kwa ukawaida kuhusu matendo yake yenye nguvu

145:14

Daudi alikuwa na uhakika kwamba Yehova anatamani na ana uwezo wa kuwategemeza watumishi Wake wote