Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Oktoba 21-27

ZABURI 100-102

Oktoba 21-27

Wimbo 37 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Onyesha Shukrani kwa Upendo Mshikamanifu wa Yehova

(Dak. 10)

Sitawisha upendo wenye nguvu kumwelekea Yehova (Zb 100:5; w23.03 12 ¶18-19)

Epuka mambo yanayoweza kuharibu urafiki wako na Yehova (Zb 101:​2, 3; w23.02 17 ¶10)

Waepuke wale wanaoeneza uwongo dhidi ya Yehova na tengenezo lake (Zb 101:5; w11 7/15 16 ¶7-8)

JIULIZE, ‘Je, mambo ninayofanya kwenye mitandao ya kijamii yanaweza kuharibu uhusiano wangu na Yehova?’

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 102:6—Kwa nini mtunga-zaburi anajilinganisha na ndege aina ya mwari? (it-2 596)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. (lmd somo la 2 jambo kuu la 3)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 5) NYUMBA KWA NYUMBA. Anzisha funzo la Biblia. (lmd somo la 9 jambo kuu la 4)

6. Kufafanua Imani Yako

(Dak. 4) Onyesho. ijwbq 129—Kichwa: Je, Biblia Imebadilishwa au Kupotoshwa? (th somo la 8)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 137

7. ‘Ninashikamana Nawe; Nawe Hunishika kwa Nguvu’

(Dak. 15)

Mazungumzo. Onyesha VIDEO. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Ana alionyeshaje upendo mshikamanifu?

  • Tunaweza kuigaje mfano wake?

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 96 na Sala