Oktoba 28–Novemba 3
ZABURI 103-104
Wimbo 30 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
1. Anakumbuka “Kwamba Sisi Ni Mavumbi”
(Dak. 10)
Huruma ya Yehova humchochea kuwa na usawaziko (Zb 103:8; w23.07 21 ¶5)
Anaendelea kutuonyesha subira tunapomkosea (Zb 103:9, 10; w23.09 6-7 ¶16-18)
Hatarajii mengi kutoka kwetu kuliko tunavyoweza kufanya (Zb 103:14; w23.05 26 ¶2)
JIULIZE, ‘Je, ninamtendea mwenzi wangu wa ndoa kwa njia inayoonyesha ninamwiga Yehova katika kuonyesha usawaziko?’
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 104:1-24 (th somo la 11)
4. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA UMMA. (lmd somo la 3 jambo kuu la 4)
5. Kufuatia Upendezi
(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Zungumzia video Karibu Kwenye Funzo Lako la Biblia na mtu aliyekubali funzo la Biblia. (th somo la 9)
6. Hotuba
(Dak. 5) lmd nyongeza A jambo kuu la 6—Kichwa: Mume Anapaswa “Kumpenda Mke Wake Kama Anavyojipenda Mwenyewe.” (th somo la 1)
Wimbo 44
7. Je, Unajua Mipaka Yako?
(Dak. 15) Mazungumzo.
Yehova anafurahi tunapompa kilicho bora, nasi tunapata shangwe pia. (Zb 73:28) Hata hivyo, kujaribu kufanya kilicho bora bila kuzingatia mipaka yetu kunaweza kutusababishia mahangaiko yasiyo ya lazima na kutuvunja moyo.
Onyesha VIDEO Tunaweza Kutimiza Mengi Tukiwa na Matarajio Halisi. Kisha waulize wasikilizaji:
-
Yehova anataka nini kutoka kwetu? (Mik 6:8)
-
Ni nini kilichomsaidia dada huyo aache kuwa na mahangaiko kuhusu kufikia lengo lake?
8. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 17 ¶8-12, sanduku uk. 137