Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Oktoba 28–Novemba 3

ZABURI 103-104

Oktoba 28–Novemba 3

Wimbo 30 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Anakumbuka “Kwamba Sisi Ni Mavumbi”

(Dak. 10)

Huruma ya Yehova humchochea kuwa na usawaziko (Zb 103:8; w23.07 21 ¶5)

Anaendelea kutuonyesha subira tunapomkosea (Zb 103:​9, 10; w23.09 6-7 ¶16-18)

Hatarajii mengi kutoka kwetu kuliko tunavyoweza kufanya (Zb 103:14; w23.05 26 ¶2)

JIULIZE, ‘Je, ninamtendea mwenzi wangu wa ndoa kwa njia inayoonyesha ninamwiga Yehova katika kuonyesha usawaziko?’

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 104:24—Mstari huu unatufundisha nini kuhusu uwezo wa Yehova wa kuumba vitu vya aina mbalimbali? (cl 55 ¶18)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YA UMMA. (lmd somo la 3 jambo kuu la 4)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Zungumzia video Karibu Kwenye Funzo Lako la Biblia na mtu aliyekubali funzo la Biblia. (th somo la 9)

6. Hotuba

(Dak. 5) lmd nyongeza A jambo kuu la 6—Kichwa: Mume Anapaswa “Kumpenda Mke Wake Kama Anavyojipenda Mwenyewe.” (th somo la 1)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 44

7. Je, Unajua Mipaka Yako?

(Dak. 15) Mazungumzo.

Yehova anafurahi tunapompa kilicho bora, nasi tunapata shangwe pia. (Zb 73:28) Hata hivyo, kujaribu kufanya kilicho bora bila kuzingatia mipaka yetu kunaweza kutusababishia mahangaiko yasiyo ya lazima na kutuvunja moyo.

Onyesha VIDEO Tunaweza Kutimiza Mengi Tukiwa na Matarajio Halisi. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Yehova anataka nini kutoka kwetu? (Mik 6:8)

  • Ni nini kilichomsaidia dada huyo aache kuwa na mahangaiko kuhusu kufikia lengo lake?

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 55 na Sala