Oktoba 14-20
ZABURI 96-99
Wimbo 66 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
1. “Tangazeni Habari Njema”!
(Dak. 10)
Waeleze wengine kuhusu habari njema (Zb 96:2; w11 3/1 6 ¶1-2)
Wafundishe habari njema kuhusu Siku ya Hukumu (Zb 96:12, 13; w12 9/1 16 ¶1)
Wafundishe kwamba kusudi la Yehova ni kuijaza dunia watu watakaolisifu jina lake (Zb 99:1-3; w12 9/15 12 ¶18-19)
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
Zb 96:1—Katika visa vingi, maneno “wimbo mpya” yanarejelea nini? (it-2 994)
Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 98:1–99:9 (th somo la 11)
4. Azimia Kuwafanya Watu Wawe Wanafunzi—Yesu Alifanya Nini?
(Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie lmd somo la 10 jambo kuu la 1-2.
5. Azimia Kuwafanya Watu Wawe Wanafunzi—Mwige Yesu
(Dak. 8) Mazungumzo yanayotegemea lmd somo la 10 jambo kuu la 3-5 na “Soma Pia.”
Wimbo 9
6. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 15)
7. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 16 ¶10-18