Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Oktoba 14-20

ZABURI 96-99

Oktoba 14-20

Wimbo 66 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. “Tangazeni Habari Njema”!

(Dak. 10)

Waeleze wengine kuhusu habari njema (Zb 96:2; w11 3/1 6 ¶1-2)

Wafundishe habari njema kuhusu Siku ya Hukumu (Zb 96:​12, 13; w12 9/1 16 ¶1)

Wafundishe kwamba kusudi la Yehova ni kuijaza dunia watu watakaolisifu jina lake (Zb 99:​1-3; w12 9/15 12 ¶18-19)

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 96:1—Katika visa vingi, maneno “wimbo mpya” yanarejelea nini? (it-2 994)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Azimia Kuwafanya Watu Wawe Wanafunzi—Yesu Alifanya Nini?

(Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie lmd somo la 10 jambo kuu la 1-2.

5. Azimia Kuwafanya Watu Wawe Wanafunzi—Mwige Yesu

(Dak. 8) Mazungumzo yanayotegemea lmd somo la 10 jambo kuu la 3-5 na “Soma Pia.”

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 9

6. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

7. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 67 na Sala