Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Septemba 23-29

ZABURI 88-89

Septemba 23-29

Wimbo 22 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Utawala wa Yehova Ndio Bora

(Dak. 10)

Utawala wa Yehova unatokeza haki ya kweli (Zb 89:14; w17.06 28 ¶5)

Utawala wa Yehova unaendeleza shangwe ya kweli (Zb 89:​15, 16; w17.06 29 ¶10-11)

Utawala wa Yehova utadumu milele (Zb 89:​34-37; w14 10/15 10 ¶14)

Kutafakari ubora wa njia ya Yehova ya kutawala kutatusaidia tusiunge mkono upande wowote tunaposikia propaganda za kisiasa

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 89:37—Kuna tofauti gani kati ya uaminifu na ushikamanifu? (cl 281 ¶4-5)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YA UMMA. Anzisha funzo la Biblia na mtu ambaye ni wa dini ambayo si ya Kikristo. (lmd somo la 5 jambo kuu la 5)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwombe umwonyeshe jinsi funzo la Biblia linavyoongozwa. (th somo la 9)

6. Kufafanua Imani Yako

(Dak. 5) Hotuba. ijwbq 181—Kichwa: Biblia Inazungumzia Nini? (th somo la 2)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 94

7. Viwango vya Yehova Ndivyo Bora

(Dak. 10) Mazungumzo.

Watu wengi wanaona kwamba viwango vya Biblia kuhusu ngono na ndoa havipatani na akili na vimepitwa na wakati. Je, umejisadikishia kwamba sikuzote kufuata viwango vya Yehova ni kwa faida yako?—Isa 48:​17, 18; Ro 12:2.

Biblia inafundisha kwamba wanaopuuza sheria za Mungu za maadili “hawataurithi Ufalme wa Mungu.” (1Ko 6:​9, 10) Lakini je, hiyo ndiyo sababu pekee ya kufuata viwango vya Mungu?

Onyesha VIDEO Sababu za Kuwa na Imani—Viwango vya Mungu Dhidi ya Viwango Vyangu. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Viwango vya Mungu vya maadili vinatulindaje?

8. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 5)

9. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 133 na Sala