Septemba 23-29
ZABURI 88-89
Wimbo 22 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
1. Utawala wa Yehova Ndio Bora
(Dak. 10)
Utawala wa Yehova unatokeza haki ya kweli (Zb 89:14; w17.06 28 ¶5)
Utawala wa Yehova unaendeleza shangwe ya kweli (Zb 89:15, 16; w17.06 29 ¶10-11)
Utawala wa Yehova utadumu milele (Zb 89:34-37; w14 10/15 10 ¶14)
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
-
Zb 89:37—Kuna tofauti gani kati ya uaminifu na ushikamanifu? (cl 281 ¶4-5)
-
Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 89:1-24 (th somo la 11)
4. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA UMMA. Anzisha funzo la Biblia na mtu ambaye ni wa dini ambayo si ya Kikristo. (lmd somo la 5 jambo kuu la 5)
5. Kufuatia Upendezi
(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwombe umwonyeshe jinsi funzo la Biblia linavyoongozwa. (th somo la 9)
6. Kufafanua Imani Yako
(Dak. 5) Hotuba. ijwbq 181—Kichwa: Biblia Inazungumzia Nini? (th somo la 2)
Wimbo 94
7. Viwango vya Yehova Ndivyo Bora
(Dak. 10) Mazungumzo.
Watu wengi wanaona kwamba viwango vya Biblia kuhusu ngono na ndoa havipatani na akili na vimepitwa na wakati. Je, umejisadikishia kwamba sikuzote kufuata viwango vya Yehova ni kwa faida yako?—Isa 48:17, 18; Ro 12:2.
-
Kwa nini hatupaswi kutumaini viwango vya maadili vya ulimwengu huu? (Yer 10:23; 17:9; 2Ko 11:13-15; Efe 4:18, 19)
-
Kwa nini tunapaswa kutumaini viwango vya maadili vya Yehova? (Yoh 3:16; Ro 11:33; Tit 1:2)
Biblia inafundisha kwamba wanaopuuza sheria za Mungu za maadili “hawataurithi Ufalme wa Mungu.” (1Ko 6:9, 10) Lakini je, hiyo ndiyo sababu pekee ya kufuata viwango vya Mungu?
Onyesha VIDEO Sababu za Kuwa na Imani—Viwango vya Mungu Dhidi ya Viwango Vyangu. Kisha waulize wasikilizaji:
-
Viwango vya Mungu vya maadili vinatulindaje?
8. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 5)
9. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 15 ¶15-20