Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Septemba 9-15

ZABURI 82-84

Septemba 9-15

Wimbo 80 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Mmoja wa wana wa Kora akitazama kiota cha mbayuwayu katika ua wa hekalu

1. Thamini Mapendeleo Uliyo Nayo

(Dak. 10)

Tunathamini mapendeleo yetu ya utumishi (Zb 84:​1-3; wp16.6 8 ¶2-3)

Furahia migawo uliyo nayo badala ya kukazia fikira migawo unayotamani ungepata (Zb 84:10; w08 7/15 30 ¶3-4)

Yehova ni mwema kuelekea wote wanaomtumikia kwa uaminifu (Zb 84:11; w20.01 17 ¶12)

Kila mgawo una baraka na changamoto zake. Ukikazia fikira baraka, unaweza kufurahia mgawo wowote.

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 82:3—Ni muhimu kadiri gani kuwaonyesha ‘mayatima’ kutanikoni kwamba tunawajali na kuwapenda? (it-1 816)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Huruma—Yesu Alifanya Nini?

(Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie lmd somo la 9 jambo kuu la 1-2.

5. Huruma—Mwige Yesu

(Dak. 8) Mazungumzo yanayotegemea lmd somo la 9 jambo kuu la 3-5 na “Soma Pia.”

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 57

6. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

7. Funzo la Biblia la Kutaniko

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 130 na Sala