Septemba 9-15
ZABURI 82-84
Wimbo 80 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
1. Thamini Mapendeleo Uliyo Nayo
(Dak. 10)
Tunathamini mapendeleo yetu ya utumishi (Zb 84:1-3; wp16.6 8 ¶2-3)
Furahia migawo uliyo nayo badala ya kukazia fikira migawo unayotamani ungepata (Zb 84:10; w08 7/15 30 ¶3-4)
Yehova ni mwema kuelekea wote wanaomtumikia kwa uaminifu (Zb 84:11; w20.01 17 ¶12)
Kila mgawo una baraka na changamoto zake. Ukikazia fikira baraka, unaweza kufurahia mgawo wowote.
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
Zb 82:3—Ni muhimu kadiri gani kuwaonyesha ‘mayatima’ kutanikoni kwamba tunawajali na kuwapenda? (it-1 816)
Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 82:1–83:18 (th somo la 2)
4. Huruma—Yesu Alifanya Nini?
(Dak. 7) Mazungumzo. Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie lmd somo la 9 jambo kuu la 1-2.
5. Huruma—Mwige Yesu
(Dak. 8) Mazungumzo yanayotegemea lmd somo la 9 jambo kuu la 3-5 na “Soma Pia.”
Wimbo 57
6. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 15)
7. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 15 ¶8-12, sanduku uk. 118