Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Unapohisi Umelemewa na Hali Ngumu Maishani

Unapohisi Umelemewa na Hali Ngumu Maishani

Ayubu alipokabili majaribu, alilinganisha maisha yake na kazi ya kulazimishwa (Ayu 7:1; w06 3/15 14 ¶10)

Uchungu wake ulimsukuma kueleza hisia zake waziwazi (Ayu 7:11)

Hata alisema anataka kufa (Ayu 7:16; w20.12 16 ¶1)

Ukihisi kwamba umelemewa na maisha, mmiminie Yehova moyo wako katika sala na umweleze rafiki mkomavu hisia zako—huenda hiyo ikawa hatua ya kwanza ya kupata kitulizo.—g 1/12 16-17.