HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Unapohisi Umelemewa na Hali Ngumu Maishani
Ayubu alipokabili majaribu, alilinganisha maisha yake na kazi ya kulazimishwa (Ayu 7:1; w06 3/15 14 ¶10)
Uchungu wake ulimsukuma kueleza hisia zake waziwazi (Ayu 7:11)
Hata alisema anataka kufa (Ayu 7:16; w20.12 16 ¶1)
Ukihisi kwamba umelemewa na maisha, mmiminie Yehova moyo wako katika sala na umweleze rafiki mkomavu hisia zako—huenda hiyo ikawa hatua ya kwanza ya kupata kitulizo.—g 1/12 16-17.