HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Jilinde Dhidi ya Habari za Uwongo
Huenda watu wangefikiri mambo ambayo Elifazi alisema yalikuwa ya kweli kwa sababu alikuwa mwenye umri mkubwa na mwenye hekima (Ayu 4:1; it-1 713 ¶11)
Aliathiriwa na roho waovu hivyo akampa Ayubu ujumbe wenye kuvunja moyo (Ayu 4:14-16; w05 9/15 26 ¶2)
Baadhi ya maneno ambayo Elifazi alisema yalikuwa kweli lakini aliyatumia katika muktadha uliokuwa na kasoro (Ayu 4:19; w10 2/15 19 ¶5-6)
Ulimwengu wa Shetani unaendelea kusambaza habari hatari za uwongo.
JIULIZE, ‘Je, mimi hutumia wakati kuchanganua habari ninayopata?’—mrt 32 ¶13-17.