Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Jilinde Dhidi ya Habari za Uwongo

Jilinde Dhidi ya Habari za Uwongo

Huenda watu wangefikiri mambo ambayo Elifazi alisema yalikuwa ya kweli kwa sababu alikuwa mwenye umri mkubwa na mwenye hekima (Ayu 4:1; it-1 713 ¶11)

Aliathiriwa na roho waovu hivyo akampa Ayubu ujumbe wenye kuvunja moyo (Ayu 4:​14-16; w05 9/15 26 ¶2)

Baadhi ya maneno ambayo Elifazi alisema yalikuwa kweli lakini aliyatumia katika muktadha uliokuwa na kasoro (Ayu 4:19; w10 2/15 19 ¶5-6)

Ulimwengu wa Shetani unaendelea kusambaza habari hatari za uwongo.

JIULIZE, ‘Je, mimi hutumia wakati kuchanganua habari ninayopata?’—mrt 32 ¶13-17.