Utangulizi
TUNAWEZA KUPATA WAPI MWONGOZO WENYE KUTEGEMEKA WA KUISHI MAISHA YENYE FURAHA?
Biblia inasema hivi: “Wenye furaha ni wale wasio na lawama katika njia yao.”—Zaburi 119:1.
Makala hizi saba zinazungumzia kanuni ambazo zimetumiwa kwa muda mrefu na kuthibitika kuwa na uwezo wa kuleta furaha maishani.