Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Maswali Ambayo Huenda Umejiuliza

Maswali Ambayo Huenda Umejiuliza
  •   Ikiwa Mungu anatujali, kwa nini anaruhusu kuwe na uovu na ameacha tuendelee kuteseka kwa muda mrefu?

  • Tuna uhakika gani kwamba tunaishi siku za mwisho wa mfumo huu wa mambo?

  • Tunajuaje kwamba ahadi kuhusu Ufalme wa Mungu zinazotajwa katika Biblia zitatimia?

  • Je, Biblia inaweza kutusaidia kufanya maamuzi ya busara leo?

Kwa kuwa Muumba wetu anatupenda, ametoa majibu ya maswali hayo na mengine mengi. Ili kuyapata, tembelea tovuti yetu, www.pr418.com/sw, ambayo imekusudiwa kuwasaidia watu wajifunze Biblia.

Kwenye tovuti hiyo, utapata mkusanyo wa mazoezi, makala, rekodi za kusikiliza na video, mahojiano, na machapisho mengi tofauti-tofauti, kutia ndani Biblia. Unaweza kupata vyote hivyo bila masharti wala malipo yoyote.