Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi na Amkeni! 2023

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi na Amkeni! 2023

Inaonyesha toleo ambamo kila makala inapatikana

TOLEO LA FUNZO LA MNARA WA MLINZI

JE, WAJUA?

  • Matofali na njia za kutengeneza matofali zilizopatikana katika magofu ya Babiloni la kale zinaungaje mkono rekodi ya Biblia? Julai

MADOKEZO YA KUJIFUNZA

  • Jifunze Kukariri “Nyimbo za Kiroho” (jw.org), Nov.

  • Kunufaika kutokana na ufafanuzi wa mistari ya Biblia unaopatikana kwenye Mwongozo wa Utafiti, Apr.

  • Kutafuta Makala Zilizoangaziwa (jw.org), Feb.

  • Kutumia Sehemu ya “Ni Nini Kipya” kwa Njia Nzuri (JW Library® na jw.org), Mac.

  • Kwenda Sambamba na Uelewaji Wetu Uliorekebishwa (Fahirisi au Mwongozo wa Utafiti), Okt.

  • Makala za Ziada Katika Mnara wa Mlinzi (JW Library®), Juni

  • Masimulizi ya maisha ya ndugu na dada zetu, Jan.

  • Mazoezi kwa Ajili ya Watoto (jw.org), Sept.

  • Pata Hazina za Kiroho Kumhusu Yehova (Fahirisi au Mwongozo wa Utafiti), Ago.

  • Tanguliza Mambo Muhimu, Julai

  • Vitabu vya Marejeo Kwenye Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO, Mei

MAISHA YA KIKRISTO

  • Fuata Mwongozo wa Mungu Kuhusu Kileo, Des.

  • Mwenzi wa Ndoa Anapotazama Ponografia, Ago.

  • Walijionea Upendo kwa Matendo, Feb.

MAKALA ZA FUNZO

  • Acheni “Mwali wa Yah” Uendelee Kuwaka, Mei

  • Akina Dada Vijana—Mnawezaje Kuwa Wakristo Wakomavu? Des.

  • Akina Ndugu Vijana—Mnawezaje Kuwa Wakristo Wakomavu? Des.

  • “Atawatia Nguvu”—Jinsi Gani? Okt.

  • Beba Majukumu Muhimu, Ondoa Uzito Usio wa Lazima, Ago.

  • Chunguza kwa Undani Sehemu Zote za Neno la Mungu, Okt.

  • Dumisha Uhakika Katika Yehova Unapokabili Changamoto Zisizotarajiwa, Nov.

  • Endelea Kukua Katika Upendo Wako, Julai

  • Endelea Kunufaika kwa Kumwogopa Mungu, Juni

  • Endelea Kutembea Katika “Njia ya Utakatifu,” Mei

  • Endelea Kuwa Mwenye Subira, Ago.

  • Endelea Kuwa Tayari kwa Ajili ya Siku ya Yehova, Juni

  • Furahia Tumaini Lisilokatisha Tamaa, Des.

  • Imani na Matendo Yanaweza Kuongoza Kwenye Uadilifu, Des.

  • “Iweni Imara, Thabiti,” Julai

  • Je, Uko “Tayari Kutii”? Okt.

  • Je, Uko Tayari kwa Ajili ya Dhiki Kuu? Julai

  • Je, Yehova Atajibu Sala Zangu? Nov.

  • Jifunze Kutokana na Mfano wa Danieli, Ago.

  • Jifunze Kutokana na Unabii wa Biblia, Ago.

  • Jifunze Mengi Zaidi Kumhusu Yehova Kupitia Uumbaji Wake, Mac.

  • Jinsi Tunavyoweza Kuboresha Sala Zetu, Mei

  • Jinsi Unavyoweza Kunufaika Zaidi Unaposoma Biblia, Feb.

  • Jinsi ya Kuendelea Kuimarisha Upendo Miongoni Mwetu, Nov.

  • Jinsi Yehova Anavyojibu Sala Zetu, Mei

  • Jinsi Yehova Anavyotupatia Uhakikisho wa Ahadi Yake ya Paradiso, Nov.

  • Kama Petro, Unaweza Kuendelea Kuwa Mwaminifu, Sept.

  • “Kwa Jambo Hili Wote Watajua Kwamba Ninyi Ni Wanafunzi Wangu,” Mac.

  • Kwa Nini Tunapaswa Kumwogopa Yehova? Juni

  • Kwa Nini Ubatizwe? Mac.

  • Masomo Tunayojifunza Katika Barua Mbili za Petro, Sept.

  • “Mgeuzwe kwa Kufanya Upya Akili Yenu,” Jan.

  • Mtegemee Yehova Kama Samsoni Alivyofanya, Sept.

  • Mwige Yehova—Uwe Mwenye Usawaziko, Julai

  • “Ndugu Yako Atafufuka”! Apr.

  • Sifa ya Upole Ina Nguvu, Sept.

  • Thamini Pendeleo Lako la Kuabudu Katika Hekalu la Kiroho la Yehova, Okt.

  • Thamini Zawadi ya Mungu ya Uhai, Feb.

  • Tianeni Moyo Katika Mikutano ya Kutaniko, Apr.

  • Tumia Uumbaji Kuwafundisha Watoto Wako Kumhusu Yehova, Mac.

  • Tunaweza Kujifunza Nini Kutokana na Miujiza ya Yesu? Apr.

  • Tunawezaje Kuimarisha Imani Yetu Katika Ahadi ya Yehova ya Ulimwengu Mpya? Apr.

  • “Tunzeni Akili Zenu, Iweni Waangalifu!” Feb.

  • Unaweza Kutimiza Malengo Yako ya Kiroho, Mei

  • Unawezaje Kujitayarisha kwa Ajili ya Ubatizo? Mac.

  • “Upendo Alio Nao Kristo Hutuchochea,” Jan.

  • Uwe na Uhakika Kwamba ‘Neno la Mungu Ni Kweli,’ Jan.

  • Vijana—Maisha Yenu Yatakuwaje? Sept.

  • Wazee—Jifunzeni Kutokana na Mfano wa Gideoni, Juni

  • Yale Ambayo Biblia Inafunua Kuhusu Mtungaji Wake, Feb.

  • Yehova Anakusaidia Ili Ufanikiwe, Jan.

  • Yehova Atakusaidia Kukabiliana na Changamoto Zisizotarajiwa, Apr.

  • Yehova Hubariki Jitihada Zetu za Kuadhimisha Ukumbusho, Jan.

MASHAHIDI WA YEHOVA

  • 1923—Miaka Mia Moja Iliyopita, Okt.

  • Hulda Alifikia Lengo Lake, Nov.

  • Kuwahurumia Watu Wote, Des.

MASIMULIZI YA MAISHA

  • Nilipata Usalama wa Kweli kwa Kumtumaini Yehova (I. Itajobi), Nov.

  • Nimewaona Waaminifu Wakisitawi (R. Landis), Feb.

  • Pindi Zenye Shangwe na Mambo Niliyojifunza Katika Utumishi wa Yehova (R. Kesk), Juni

  • Upendezi wa Kibinafsi Huleta Baraka Maishani (R. Reid), Julai

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

  • Baada ya Yesu kuzaliwa, kwa nini Yosefu na Maria waliendelea kukaa Bethlehemu? Juni

  • Kwa nini “Fulani wa fulani” alisema kwamba urithi wake ‘ungeharibiwa’ ikiwa angemwoa Ruthu? (Ruthu 4:​1, 6), Mac.

  • Uelewaji wetu kuhusu jina la Yehova na enzi yake kuu ulifafanuliwaje? Ago.

  • Waisraeli walipokuwa nyikani, je, walikula chakula kingine mbali na mana na kware? Okt.

TOLEO LA WATU WOTE LA MNARA WA MLINZI

  • Afya ya Akili—Msaada Kutoka Katika Biblia, Na. 1

AMKENI!

  • Je, Dunia Yetu Itaokoka? Sababu za Kuwa na Tumaini, Na. 1