MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Oktoba 2024

Toleo hili lina makala za funzo za Desemba 9, 2024–​Januari 5, 2025.

1924​—⁠Miaka Mia Moja Iliyopita

Katika mwaka wa 1924, kwa ujasiri Wanafunzi wa Biblia walitumia njia mpya za kuhubiri ili kuendelea kutangaza habari njema.

MAKALA YA 40

Yehova “Huwaponya Waliovunjika Moyo”

Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 9-15, 2024.

MAKALA YA 41

Mambo Tunayojifunza Kutokana na Siku 40 za Mwisho za Yesu Akiwa Duniani

Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 16-22, 2024.

MAKALA YA 42

Onyesha Kwamba Unawathamini ‘Wanaume Walio Zawadi’

Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 23-29, 2024.

MAKALA YA 43

Jinsi ya Kushinda Shaka

Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 30, 2024–​Januari 5, 2025.

Je, Wajua?

Muziki Ulikuwa na Umuhimu Gani Katika Israeli la Kale?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Ukumbi wa hekalu la Sulemani ulikuwa na kimo gani?

Pitia Mambo Makuu

Je, nyakati nyingine ni vigumu kwako kukumbuka mambo ambayo umetoka tu kujifunza? Ni nini kinachoweza kukusaidia?