MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Septemba 2024

Toleo hili lina makala za funzo za Novemba 11–​Desemba 8, 2024.

MAKALA YA 36

“Iweni Watendaji wa Neno”

Tutajifunza makala hii katika juma la Novemba 11-17, 2024.

MAKALA YA 37

Barua Inayoweza Kutusaidia Kuvumilia kwa Uaminifu Mpaka Mwisho

Tutajifunza makala hii katika juma la Novemba 18-24, 2024.

SIMULIZI LA MAISHA

Safari Yenye Kuridhisha Katika Utumishi wa Yehova

André Ramseyer amefurahia kuwa katika utumishi wa wakati wote kwa miaka 70 na amekuwa na migawo mbalimbali ya Kitheokrasi. Amekabili changamoto gani, na amewezaje kumtanguliza Yehova maishani mwake?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Yesu alipoanzisha Mlo wa Jioni wa Bwana, wanafunzi 70 ambao awali alikuwa amewatuma kuhubiri walikuwa wapi? Je, walikuwa wamemwacha?

MAKALA YA 38

Je, Unatii Onyo?

Tutajifunza makala hii katika juma la Novemba 25–​Desemba 1, 2024.

MAKALA YA 39

Pata Furaha Kubwa Inayotokana na Kutoa

Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 2-8, 2024.

Jifunze Ukiwa na Mtazamo Unaofaa

Tunawezaje kutambua waziwazi mambo ambayo Yehova anajaribu kutufundisha kupitia funzo la kibinafsi?