Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Uhai Ulitoka Wapi?

Uhai Ulitoka Wapi?

Uhai Ulitoka Wapi?

Biblia huonyesha kwamba Mungu ndiye aliyeumba mimea na wanyama mbalimbali waliomo duniani. Lakini je, twaweza kuamini simulizi hilo la Biblia? Je, simulizi hilo la Biblia laweza kuaminika linapochunguzwa na wanasayansi wa siku hizi?

Kitabu Je, Kuna Muumba Anayekujali? hujibu maswali muhimu kuhusu mwanzo wa ulimwengu na uhai uliomo duniani. Unaweza kuomba nakala ya kitabu hicho chenye kurasa 192 kwa kujaza na kutuma kuponi iliyo hapa kwa anwani iliyoonyeshwa au kwa anwani ifaayo iliyoorodheshwa kwenye ukurasa wa 5 wa gazeti hili.

□ Nitumieni nakala ya kitabu Je, Kuna Muumba Anayekujali? Onyesha lugha unayotaka

□ Tafadhali wasilianeni nami kuhusu funzo la Biblia la nyumbani bila malipo.