Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Chunguza Neno la Mungu kwa Makini!

Chunguza Neno la Mungu kwa Makini!

Chunguza Neno la Mungu kwa Makini!

Hivyo ndivyo kitabu Mwabudu Mungu wa Pekee wa Kweli kitakavyokusaidia kufanya. Kitabu hicho kimetayarishwa kuwasaidia wanafunzi wa Biblia kutumia mafundisho ya Neno la Mungu maishani mwao. Mwalimu mmoja wa Biblia huko Nigeria, Afrika Magharibi, alisema hivi: “Nilipendezwa hasa na maswali yaliyo katika kila sura ambayo yanamfanya mtu afikiri na kumsaidia msomaji aelewe na kutafakari kuhusu yale anayosoma.”

Mwanamke ambaye amefundisha Biblia kwa miaka mingi alisema: “Kitabu hiki kimeandikwa kwa njia rahisi kueleweka! Inafurahisha sana kukitumia kuwafundisha wengine Biblia.”

Huenda hata wewe utahisi hivyo kuhusu kitabu hiki unapochunguza sura kama vile “Suala Ambalo Lazima Sote Tukabili,” “Kwa Nini Mungu Ameruhusu Uovu?” “Nguvu za Tumaini la Ufufuo,” na “Sikiliza Shauri, Kubali Nidhamu.” Unaweza kuomba kitabu hicho chenye jalada nyepesi chenye kurasa 192 kinachoitwa Mwabudu Mungu wa Pekee wa Kweli kwa kujaza sehemu iliyo hapa chini na kuituma ukitumia anwani iliyoonyeshwa au anwani ifaayo kati ya zile zilizoorodheshwa kwenye ukurasa wa 5 wa gazeti hili.

□ Ningependa kupokea kitabu Mwabudu Mungu wa Pekee wa Kweli bila malipo. Andika lugha unayotaka.

□ Ningependa kujifunza Biblia nyumbani kwangu bila malipo.

[Picha katika ukurasa wa 32]

Cover of book: U.S. Navy photo