Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Jifunze yale ambayo Biblia inafundisha

Jifunze yale ambayo Biblia inafundisha

Jifunze yale ambayo Biblia inafundisha

Mungu Anataka Tufanye Nini? ni kichapo chenye kurasa 32 kilicho na ukubwa wa gazeti hili. Kimeandikwa ili kuwasaidia watu waelewe mafundisho ya msingi ya Biblia. Broshua hiyo inaonyesha wazi kusudi la Mungu kwa wanadamu na ina habari kutoka katika Biblia inayotuonyesha tunachohitaji kufanya ili tukubaliwe naye. Masomo yake yenye kupendeza ni kama “Mungu Ni Nani?,” “Yesu Kristo Ni Nani?,” “Ni Nini Kusudi la Mungu kwa Dunia?,” na “Ufalme wa Mungu Ni Nini?”

Tunakutia moyo uombe nakala yako au ujipatie moja kutoka kwenye kituo chetu cha Intaneti www.watchtower.org. Broshua hiyo inapatikana katika lugha zaidi ya 250.

Unaweza kuomba broshua hiyo kwa kujaza sehemu iliyo hapa chini na kuituma ukitumia anwani iliyoonyeshwa au anwani ifaayo kati ya zile zilizoorodheshwa kwenye ukurasa wa 5 wa gazeti hili.

□ Ningependa kupokea broshua Mungu Anataka Tufanye Nini? bila malipo.

□ Ningependa kujifunza Biblia nyumbani kwangu bila malipo.