Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai?

Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai?

Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai?

▪ Wanafalsafa, wanatheolojia, na watu wa kawaida wametafuta jibu la swali hilo kwa miaka mingi. Lakini hawajafanikiwa. Hivyo, wengi wamekata kauli kwamba swali hilo haliwezi kujibiwa. Hata hivyo, jibu linaweza kupatikana. Ingawa swali hilo lilikuwa gumu, halikuwa lenye kutatanisha.

Jibu linapatikana katika Biblia. Ili kufurahia maisha yenye kusudi, ni muhimu kujifunza sababu inayomfanya Mungu aruhusu kuteseka kwingi na ukosefu wa haki, kisha usitawishe uhusiano mzuri na yeye. Lakini mtu anawezaje kufanya hivyo? Broshua yenye kurasa 32, Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai? Wewe Waweza Kulipataje? imewasaidia watu wengi kufanya hivyo.

Unaweza kuomba broshua hiyo kwa kujaza sehemu iliyo hapa chini na kuituma ukitumia anwani iliyoonyeshwa au anwani ifaayo kati ya zile zilizoorodheshwa kwenye ukurasa wa 5 wa gazeti hili.

□ Ningependa kupokea broshua Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai? Wewe Waweza Kulipataje? bila malipo.

□ Ningependa kujifunza Biblia nyumbani kwangu bila malipo.