Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

ILITUKIA WAPI?

1. Mtu huyu aliyezaliwa akiwa kipofu alianza kuona akiwa mahali gani?

Chora duara kwenye jibu lako katika ramani.

YERUSALEMU

Dimbwi la Bethzatha

Chemchemi ya Gihoni

Dimbwi la Siloamu

◆ Yesu alimfanyia nini kabla ya kumtuma huko?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

◆ Wenzi hawa wazee walio nyuma ya picha hii ni akina nani, na kwa nini wanaogopa?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

Zungumzeni Pamoja: Unajifunza nini kutokana na tukio hili?

ILITUKIA LINI?

Chora mstari wa kuunganisha mahali pa ibada na mwaka ambao palikamilishwa.

1513 1512 1473 1027 515 455 K.W.K.

2. 1 Wafalme 6:1, 37, 38

3. Kutoka 40:1, 2, 33

4. Ezra 6:15

MIMI NI NANI?

5. Nilitumikia mfalme mpagani, lakini ustadi wangu ulitumiwa kujenga hekalu.

MIMI NI NANI?

6. Babu yangu alitegemeza mkono wa Musa, nayo kazi yangu ilitegemeza maskani.

KATIKA TOLEO HILI

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

Ukurasa wa 3 Wanadamu wanatarajiwa kuishi miaka mingapi leo? (Zaburi 90:____)

Ukurasa wa 9 Yehova atafanya nini kuhusu kifo? (Isaya 25:____)

Ukurasa wa 17 Kusoma Biblia hukusaidia kufanya nini? (Matendo 17:____)

Ukurasa wa 24 Sifongo wa baharini huthibitisha nini? (Zaburi 104:____)

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

(Majibu kwenye ukurasa wa 12)

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Dimbwi la Siloamu.—Yohana 9:7.

◆ Yesu alifanyiza udongo kwa mate yake na kuuweka juu ya macho ya mtu huyo aliyekuwa kipofu.—Yohana 9:6.

◆ Wazazi wa mtu huyo. Wanaogopa kufukuzwa katika sinagogi.—Yohana 9:18-23.

2. 1027 K.W.K.

3. 1512 K.W.K.

4. 515 K.W.K.

5. Hiramu.—1 Wafalme 7:13, 14; 2 Mambo ya Nyakati 2:12-14.

6. Bezaleli.—Kutoka 17:11, 12; 35:30, 31.