Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

FAFANUA MFANO HUU

1. Mfano wa Yesu kwenye Mathayo 13:3-9, 18-23 unasema kwamba mbegu ilianguka katika sehemu zipi nne?

Chora mstari kuunganisha majibu yako na picha.

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

2. Mbegu hiyo inawakilisha nini?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

▪ Zungumzeni Pamoja: Unaweza kuhakikishaje kwamba moyo wako ni kama udongo mzuri? Kwa nini jitihada inahitajiwa?

ILITUKIA LINI?

Chora mstari kuunganisha kila tukio na mwaka ambao lilitukia.

1943 K.W.K. 1919 1770 1728 1473 1066

3. Mwanzo 46:5-7

4. Mwanzo 12:4

5. Yoshua 2:1-21

MIMI NI NANI?

6. Niliishi Elkoshi na kutoa unabii dhidi ya Ninawi.

MIMI NI NANI?

7. Jina la mume wangu wa pili lilimaanisha “Mpendwa.” Jina la mume wangu wa kwanza lilimaanisha “Mpumbavu.”

KATIKA TOLEO HILI

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

Ukurasa wa 8 Ugaidi utakomeshwaje? (Mika 4:____)

Ukurasa wa 9 Hasira ya mtu hushindwa kufanya nini? (Yakobo 1:____)

Ukurasa wa 10 Pesa zinaweza kuwa nini? (Mhubiri 7:____)

Ukurasa wa 28 Dhambi ya kwanza ilikuwa nini? (Mwanzo 3:____)

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Eleza kwa maneno yako mwenyewe jambo linalotendeka katika kila picha.

(Majibu kwenye ukurasa wa 27)

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Kando ya barabara, mahali penye miamba, katikati ya miiba, na kwenye udongo mzuri.

2. Neno la Ufalme.

3. 1728 K.W.K.

4. 1943 K.W.K.

5. 1473 K.W.K.

6. Nahumu.—Nahumu 1:1.

7. Abigaili.