Ungejibuje?
Ungejibuje?
ILITUKIA WAPI?
1. Tukio hili lilitukia kwenye mlima gani?
Zungushia duara kwenye majibu yako katika ramani.
Ml. Hermoni
Ml. Karmeli
Ml. Gerizimu
Ml. Moria
◆ Ni jengo gani lilijengwa baadaye katika mlima huu?
․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
◆ Kwa nini Abrahamu alitaka kumtoa Isaka kuwa dhabihu?
․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
◆ Je, Isaka alikuwa mtoto mdogo wakati huo?
․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
▪ Zungumzeni Pamoja: Kwa nini unafikiri kwamba Isaka alikubaliana na baba yake? Yesu alifananaje na Isaka?
ILITUKIA LINI?
Chora mstari kuunganisha mfalme na tarehe aliyoanza kutawala.
1037 K.W.K. 977 K.W.K. 936 K.W.K. 716 K.W.K. 659 K.W.K. 607 K.W.K.
MIMI NI NANI?
5. Nilichukuliwa mateka hadi Babiloni lakini nikarudishwa Yerusalemu, ambako nilimalizia utawala wangu wa kifalme.
MIMI NI NANI?
6. Niliandika sehemu fulani ya Biblia nikiwa Babiloni wakati Waroma walipokuwa wanatawala Yerusalemu.
KATIKA TOLEO HILI
Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.
Ukurasa wa 4 Tofauti moja kati ya hukumu za Mungu zinazotajwa katika Biblia na majanga ya kiasili ni ipi? (Mwanzo 18:____)
Ukurasa wa 5 Je, ni vibaya kuuliza kwa nini Mungu anaruhusu kuteseka? (Habakuki 1:____)
Ukurasa wa 19 Kama unapigana na tabia ya kupiga punyeto, kwa nini hupaswi kujilaumu unaporudia tabia hiyo? (Zaburi 103:____)
Ukurasa wa 28-29 Sababu moja inayotufanya tuukimbie uasherati ni ipi? (1 Wakorintho 6:____)
Watoto Watafute Picha
Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Eleza kwa maneno yako mwenyewe jambo linalotendeka katika kila picha.
(Majibu kwenye ukurasa wa 14)
MAJIBU YA UKURASA WA 31
1. Ml. Moria.
◆ Hekalu la Sulemani.
◆ Alitii amri ya Yehova.
◆ Hapana.
2. 1037 K.W.K.
3. 659 K.W.K.
4. 936 K.W.K.
5. Manase.
6. Petro.