Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Yaliyomo

Yaliyomo

Yaliyomo

Novemba 2006

“Kwa Nini?”​—Kujibu Swali Gumu Zaidi

Watu wengi zaidi wanaathiriwa na misiba ya asili, mashambulizi ya kigaidi, au aksidenti mbaya. Je, umewahi kujiuliza kwa nini Mungu huacha mambo kama hayo yatukie? Ona jinsi Biblia inavyojibu na kutoa faraja na tumaini.

3 Swali Gumu Zaidi

5 Kwa Nini Mungu Anawaacha Wanadamu Wateseke?

9 Mungu Anajali!

10 “Jaribio Takatifu” la Dini ya Quaker

13 “Pindi za Mlo Hutuwezesha Kukaribiana Zaidi”

18 Vijana Huuliza  . . .

Ninaweza kushindaje zoea hili?

21 Nilikombolewa Kutokana na Taabu Zangu Zote

24 Staajabia Mto Mkubwa Mekong

26 “Magari Moshi Madogo” Yanayong’aa Gizani

27 Kuutazama Ulimwengu

30 Burudani za Umma Katika Karne ya Kwanza

31 Ungejibuje?

32 “Ni Kizuri Sana”

Uhai Katika Bonde la Kifo 14

Soma kuhusu mojawapo ya maeneo yenye joto zaidi ulimwenguni ujionee jinsi mamia ya viumbe vinavyopendeza hunawiri huko.

Je, Ni Sawa Kufanya Ngono Kabla ya Ndoa Ikiwa Mnapendana? 28

Watu wawili wanaopendana wanapofanya ngono kabla ya ndoa, je, wanatendeana fadhili? Je, wanaonyeshana upendo wa kweli? Mungu anaonaje mwenendo wao? Soma majibu ya Biblia yaliyo wazi.

[Hisani ya Picha katika ukurasa wa  2]

COVER: Flood: © Tim A. Hetherington/​Panos Pictures

PRAKASH SINGH/​AFP/​Getty Images