Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Yaliyomo

Yaliyomo

Yaliyomo

Desemba 2006

Yesu—Alikuwa Nani?

Wanahistoria wanasema Yesu alikuwa mtu wa maana kadiri gani? Ni nini kinachofanya awe tofauti na watu wengine wote? Na kwa nini jambo hilo liwe muhimu kwetu?

3 Mtu Mkuu Zaidi Aliyepata Kuishi

4 Kwa Nini Yesu Ni Mtu Muhimu Sana?

7 Maisha Anayotuwezesha Kupata

10 Vijana Huuliza  . . .

Kwa nini kuna sheria nyingi sana?

16 “Imetokana na Wazazi Safi Zaidi”

20 “Je, Wewe Husherehekea Sikukuu ya Akina Nyanya?”

21 Alipenda Alichojifunza

24 Kalipso Muziki wa Kitamaduni wa Trinidad

26 Tungefanya Nini Bila Punda?

28 Kutoka kwa Wasomaji Wetu

29 Kuutazama Ulimwengu

30 Fahirisi ya Amkeni! kwa Mwaka wa 2006

31 Ungejibuje?

32 Zawadi Iliyothaminiwa Sana

Nilikuwa Mwana Mpotevu 13

Jifunze kuhusu kijana aliyeasi wazazi wake wanaomwogopa Mungu na kilichomfanya abadili maisha yake na kurudi tena.

Je, Ni Vibaya Kunywa Kileo? 18

Biblia inazungumza kuhusu madhara mabaya ya kileo. Kwa hiyo, je, ni sawa kunywa hata kidogo?