Yaliyomo
Yaliyomo
Desemba 2006
Yesu—Alikuwa Nani?
Wanahistoria wanasema Yesu alikuwa mtu wa maana kadiri gani? Ni nini kinachofanya awe tofauti na watu wengine wote? Na kwa nini jambo hilo liwe muhimu kwetu?
3 Mtu Mkuu Zaidi Aliyepata Kuishi
4 Kwa Nini Yesu Ni Mtu Muhimu Sana?
7 Maisha Anayotuwezesha Kupata
Kwa nini kuna sheria nyingi sana?
16 “Imetokana na Wazazi Safi Zaidi”
20 “Je, Wewe Husherehekea Sikukuu ya Akina Nyanya?”
24 Kalipso Muziki wa Kitamaduni wa Trinidad
26 Tungefanya Nini Bila Punda?
30 Fahirisi ya Amkeni! kwa Mwaka wa 2006
31 Ungejibuje?
Jifunze kuhusu kijana aliyeasi wazazi wake wanaomwogopa Mungu na kilichomfanya abadili maisha yake na kurudi tena.
Je, Ni Vibaya Kunywa Kileo? 18
Biblia inazungumza kuhusu madhara mabaya ya kileo. Kwa hiyo, je, ni sawa kunywa hata kidogo?