Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

ELEZA MAANA YA MFANO

1. Kwenye mfano wa Yesu ambao umenukuliwa kwenye andiko la Mathayo 18:23-35, mtumwa anaomba mfalme amfanyie nini?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

2. Mtumwa yule wa kwanza alimtendeaje mtumwa mwenzake?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

3. Kwa nini mfalme alimkasirikia mtumwa yule wa kwanza?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

▪ Zungumzeni Pamoja: Ni lini mara ya mwisho ulipomsamehe mtu? Kwani alikukosea nini? Kwa nini ulimsamehe?

ILITUKIA LINI?

Taja jina la kila mwandishi aliyeandika kitabu cha Biblia kilichoorodheshwa hapa chini, na uchore mstari unaounganisha kitabu na tarehe kilipokamilishwa kuandikwa.

1657 K.W.K.

1513 K.W.K. Karibu 1100 K.W.K. Karibu 56 W.K. Karibu 61 W.K.

4. Mwanzo

5. Waamuzi

6. Matendo

MIMI NI NANI?

7. Mapacha niliowazaa walikuja kuwa mataifa mawili.

MIMI NI NANI?

8. Kura zilionyesha kwamba sikupaswa kuwa mtume.

KATIKA TOLEO HILI

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

Ukurasa wa 3 Ni matatizo gani ya afya ambayo karibuni yataondolewa? (Isaya 35:____)

Ukurasa wa 11 Kwa nini unaamini kwamba inawezekana kuwa na afya nzuri ya kudumu? (Luka 18:____)

Ukurasa wa 20 Safina ya Noa ilikuwa na ukubwa gani? (Mwanzo 6:____)

Ukurasa wa 30 Ni tabia gani unazopaswa kuziepuka na unapaswa kusitawisha mtazamo gani kabla ya kufikiria kufunga ndoa? (Waefeso 4:____)

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Eleza kwa maneno yako mwenyewe jambo linalotendeka katika kila picha.

(Majibu kwenye ukurasa wa 26)

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Amwonyeshe rehema kuhusu deni lake.

2. Anamtupa gerezani.

3. Kwa sababu mtumwa hakuwa mwenye rehema.

4. Musa, 1513 K.W.K.

5. Samweli, karibu 1100 K.W.K.

6. Luka, karibu 61 W.K.

7. Rebeka.—Mwanzo 25:21-23.

8. Barsaba.—Matendo 1:23-26.

[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 31]

Middle circle: Scott Bauer/Agricultural Research Service, USDA