Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

ELEZA MFANO

Taja watu watatu katika mfano wa Yesu kwenye Luka 10:29-37. Andika majibu yako hapa chini.

1. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

2. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

3. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

Zungumzeni Pamoja: Ni nini kinachokufurahisha kuhusu jinsi Msamaria alivyotenda? Unaweza kufanya nini ili uwe jirani mwema?

ILITUKIA LINI?

Taja jina la mwandishi aliyeandika kitabu cha Biblia kilichoorodheshwa hapa chini, na uchore mstari unaounganisha kitabu na tarehe kilipokamilishwa kuandikwa.

537 K.W.K. 460 455 50-52 W.K. 66-70 W.K.

4. 2 Nyakati

5. Ezra

6. Wagalatia

MIMI NI NANI?

7. Niliomba mashauri kutoka kwa wazee na kwa vijana lakini niliwasikiliza vijana tu.

MIMI NI NANI?

8. Paulo alinilinganisha na agano, na Mlima Sinai, na Yerusalemu.

KATIKA TOLEO HILI

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

Ukurasa wa 9 Wale wanaomtumikia Mungu wanawezaje kuwa kama Noa? (2 Petro 2:____)

Ukurasa wa 10 Waadilifu watamiliki nini? (Zaburi 37:____)

Ukurasa wa 12 Ni nini kinachoweza kukusaidia usikasirike unapolinganishwa na wengine? (Methali 19:____)

Ukurasa wa 26 Tunawezaje kuwa rafiki za Yesu? (Yohana 15:____)

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Eleza kwa maneno yako mwenyewe jambo linalotendeka katika kila picha.

(Majibu kwenye ukurasa wa 29)

MAJIBU KWA UKURASA WA 31

1. Kuhani.

2. Mlawi.

3. Msamaria.

4. Ezra, 460 K.W.K.

5. Ezra, 460 K.W.K.

6. Paulo, 50-52 W.K.

7. Rehoboamu.—2 Nyakati 10:3-14.

8. Hagari.—Wagalatia 4:22-25.